Ijumaa, 8 Juni 2018

JIPATIE VIFUNGASHIO VYA BIDHAA VYENYE LABEL AU LOGO YAKO



JIPATIE   VIFUNGASHIO  VYA BIDHAA VYENYE  LABEL


Wewe  ni  mjasiriamali ?   Unahitaji  vifungashio  bora  kwa  ajili  ya  bidhaa  zako ? Kama  jibu  lako  ni  NDIO  basi  HII  NI  HABARI  NJEMA  SANA  KWAKO.  Mwalu   Marketing  wanakuletea  vifungashio  bora  kwa ajili  ya  bidhaa  zako.  Vipo katika  ujazo mbalimbali  na  vinaweza  kutumika  kufunga na  kuhifadhi  bidhaa  mbalimbali  kama  vile  unga  wa lishe, korosho, asali, juice , wine,karanga  nakadhalika.

Pia  tunayo  huduma  maalumu  ya  kuweka  sticker  au  label  kwenye  vifungashio . Hivyo  basi  kwa  wale  wanao  hitaji  na  huduma  ya  kuweka  stickers  au  label  kwenye  vifungashio  vyao, hii  ni  habari  njema  sana  kwao.

BEI  YA  VIFUNGASHIO

1Kg = bei  Tshs. 550/= @ bag
Nusu kilo = Bei  Tsh. 350/= @bag
Robo kilo =Bei  Tsh  250/= @ bag
140gms  =  Bei Tsh 150/= @bag.


Tunapatilkana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Fika  ofisini  kwetu  Ubungo  jijini  Dar  Es  Salaam  au  Wasiliana  nasi  kwa  simu  0687319762.



Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam,tuna  wasafirishia vifungashio  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabasi.

BORESHA   BIASHARA  YAKO  KWA  KUWEKA  BIDHAA ZAKO  KATIKA VIFUNGASHIO  BORA   VYENYE  LEBO  AU  LOGO  YAKO.